Prof Jay na Sugu wapeta ubunge

msanii wa muziki Joseph Haule aka Profesa Jay akiwa na msanii Joseph Mbilinyi aka Mr. II Sugu

Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ( Profesa Jay ) ameshinda kiti cha ubunge jimbo la Mikumi mkoani Morogoro kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS