Pinda azindua chama cha kuendeleza ufugaji nyuki

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitundika mzinga wa nyuki wakati alipotembelea kikundi cha hifadhi ya misitu na ufugaji nyuki cha Kambi ya Nduta.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amezindua Chama cha Kuendeleza Ufugaji Nyuki Tanzania (Tanzania Beekeeping Development Organization – TABEDO) na kukitaka kishirikiane na makampuni binafsi ili kuendeleza sekta hiyo kwa haraka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS