Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Paul Chagonja
Jeshi la polisi limesema kuwa limejipanga kikamilifu kulinda usalama wa raia na mali zao katika tukio la kuapishwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli hapo kesho.