Rais Museveni aingia studio tena
Rais wa Uganda, Mheshimiwa Yoweri Museveni ametenga muda wake na kuingia studio kuandaa rekodi inayosimama kwa jina Kwezi, ikiwa inaeleweka wazi kuwa hatua hiyo ni kwa ajili ya mbio za uchaguzi mkuu wa nchi hiyo mapema mwaka ujao.