Alicia atengeneza bilioni 8 za msaada Afrika/India
Mwanamuziki Alicia Keys amefanikiwa kuchangisha dola milioni 3.8 - zaidi ya shilingi bilioni 8 za Tanzania katika tukio la hisani la burudani la Keep The Child Alive Black Ball lenye lengo kuokoa watoto dhidi ya janga la ugonjwa wa UKIMWI