Dr. John ajitoa kwaajili ya vipaji Tanga

Dr. John na Fredy Mkoloni

Msanii a muziki Dr John kutoka kundi la Wagosi wa Kaya, ameamua kutoa msaada kwa wasanii wengine wanaotoka Tanga, katika harakati za kunyanyua mkoa huo kisanaa baada ya mchango na nafasi yake kubwa katika gemu ya Bongofleva.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS