Serikali yatakiwa kukomesha ukatili wa watoto

Mwenyekiti wa Baraza la watoto la wilaya ya Arusha, Dominic Raphael

Kufuatia kukithiri kwa vitendo vya ukatili dhidi ya watoto ikiwemo kupigwa na kunyanyaswa na kunyimwa fursa ya kupata elimu ,baraza la Watoto wilaya ya Arusha limeiomba serikali ichukue hatua kali dhidi ya watakao bainika, ili kukomesha vitendo hivyo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS