80% ya waandishi hawana mikataba
Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) uliolenga kuangalia hali ya vyombo vya habari nchini umebaini kuwa asilimia 80 ya waandishi wa habari ambao wanafanya kazi katika vyombo mbalimbali Tanzania hawana mikataba.