Viongozi watakiwa kufuata kasi ya Rais Magufuli

Kaimu mkuu wa wilaya ya Morogoro Bi. Betty Mkwasa

Wananchi wa wilaya ya Morogoro wamewataka viongozi mbalimbali waliochaguliwa kuunga mkono jitihada za Rais Dk John Pombe Magufuli kwa kuhakikisha wanazuia maswala ya rushwa ili kuharakisha utekelezaji na ukamilishaji wa miradi ya maendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS