Fraga aanza kupata mafanikio

mtayarishaji chipukizi wa nchini Tanzania Fraga

Producer anayechipukia katika kazi za utayarishaji muziki nchini Tanzania anayejulikana kwa jina la Fraga, ameelezea kuhusu mafanikio yake baada ya kuanza kufanya kazi na baadhi ya wasanii wa nchini Nigeria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS