Serikali marufuku chumvi isiyowekwa madini joto Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Donan Mmbando. Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii nchini imepiga marufuku usafirishaji chumvi isiyowekwa madini joto katika mgodi wa Ngedabi huko Manyara. Read more about Serikali marufuku chumvi isiyowekwa madini joto