Mkude, Kapombe wairudisha Kill Stars Nyumbani

Kiungo Jonas Mkude na Beki Shomari kapombe wameinyima The Kilimanjaro Stars nafasi ya kuelekea katika nusu fainali ya michuano ya Chalenji baada ya kukosa penati na Kill Stars kufungwa mikwaju ya Penati 4-3 na wenyeji Ethiopia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS