Mashali alipa kisasi amtwanga Cheka kwa Pointi.

Mabondia Thomas Mashali kushoto na Francis Cheka wakiwa tayari kwaaajili mpambano wao hapo jana.

Baada ya kuwindana kwa muda mrefu mabondia wa Tanzania, Thomas Mashali wa Dar es Salaam na Francis Cheka wa Morogoro jana usiku walishuka ulingoni katika uwanja wa jamhuri mjini Morogoro kukata mzizi wa fitina wa nani zaidi baina ya wawili hao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS