Katibu wa Idara ya Uenezi Afisi Kuu Zanzibar Ndg Waride Bakari Jabu akiwahutubia Wananchi
Kamati maalumu ya Halmshauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi visiwani Zanzibar imekutana na kujadili hali ya kisiasa visiwani humo ikiwa ni pamoja na kutoa tamko la chama hicho.