Serikali yatakiwa kusimamia mazingira na maliasili

uharibifu wa mazingira katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Iringa

Wanafunzi wanaojihusisha na utunzaji wa mazingira nchini Tanzania na Sweden wameiomba serikali kutunga sheria kali zitakazotekelezwa ili kudhibiti tatizo la uharibifu wa mazingira na mauaji ya wanyamapori yanaoyoendelea hapa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS