Baby J alilia mabadiliko haya kwenye muziki Bongo

Baby J

Kufuatia malalamiko kadhaa juu ya mahusiano mabovu kati ya wasanii wa kike hapa Bongo, diva wa muziki Baby J ametoa wito kwa wasanii wenzake kuunganisha nguvu na kuwa na umoja kutokana na kazi wanayofanya kutegemea sana ushirikiano ili kusonga mbele.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS