Moja ya Nyumba zilizopo vijijini ambazo Kaya yake inatakia kupewa pesa za TASAF
Jumla ya sh. 675,436,159 zimetumika kwa ajili ya kuzilipa kaya 17,162 zilizopo wilayani sengerema katika mkoa wa mwanza kwa ajili ya kuzikwamua kuondokana na wimbi la umaskini.