Liundwe jopo kusimamia uchaguzi Z'bar-Jaji Bomani

Jaji Mark Boman akiongea na waandishi wa habari

Mwanasheria mkuu wa zamani wa Tanzania, Jaji Mark Bomani, anasema hali ya kisiasa visiwani Zanzibar inatishia mustakabali wa eneo hilo na kama uchaguzi mpya utafanyika basi lazima usimamiwe na jopo maalumu la wataalamu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS