MTWAREFA kuviadhibu vilabu vinavyohusika na rushwa

Chama cha Soka Mkoani Mtwara MTWAREFA kimesema, kinakamilisha uchunguzi wake juu ya fedha zilizokutwa katika karatasi ya majina ya wachezaji aliyokabidhiwa mwamuzi wakati wa michuano ya ligi ya mkoa ikiendelea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS