Chelsea yaivurumisha Manchester City kombe la FA

Nyota wa Chelsea Eden Hazard (kushoto)akijaribu kumpita Fernando wa Manchester City.

Michuano ya kombe la FA iliendelea tena usiku wa jana kwa michezo mitatu, Chelsea wakicheza uwanja wao wa nyumbani Stamford Bridge walifanikiwa kuwachapa Manchester city mabao 5-1.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS