Janjaro, Madee 'wapika beef'

DOGO JANJA NA MADEE

Mtindo wa kutafuta kiki kwa wasanii ili kuingiza kazi zao mpya sokoni umechukua sura mpya, hili likiwa limegundulika na eNewz baada ya kufuatilia kwa undani beef inayotajwa kuwepo kati ya msanii Dogo Janja na uongozi wa TIP TOP.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS