Wapuuzeni waonaotaka msishiriki uchaguzi Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro ametoa rai kwa Watanzania wote kuwapuuza wanasiasa wanaowashawishi kutoshiriki katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025. Read more about Wapuuzeni waonaotaka msishiriki uchaguzi