Pluijm aapa kumaliza utawala wa TP Mazembe Kocha wa Yanga Hans van Der Pluijm, amesema anaamini Ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika utabaki Tanzania kwani hawezi kufungwa kwenye mechi zote za ugenini katika michezo yote katika hatua ya makundi. Read more about Pluijm aapa kumaliza utawala wa TP Mazembe