Samatta kucheza Europa League mwakani

Mbwana Samatta wa tatu kutoka kushoto waliokaa, akiwa na wachezaji wenzake wakishangilia ushindi wa kufuzu Europa league.

Mtanzania Mbwana Ally Samatta anatarajiwa kucheza michuano ya Europa League mwakani, baada ya timu yake KRC Genk kufuzu kufuatia ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Sporting Charleroi Uwanja wa Cristal Arena, Genk.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS