Taasisi za kifedha igeni Exim Bank kusaidia jamii

Mkuu wa Utumishi wa Benki ya Eximu Bw. Frederick Kanga

Taasisi za kifedha nchini zimeshuriwa kutumia sehemu ya faida wanayopata kwa kuboresha upatikanaji wa huduma za kijamii kama vile afya, elimu maji na barabara ili kuboresha maisha ya wananchi ambao ndiyo wateja wa baadaye wa taasisi hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS