Madereva wengi Dar hawana leseni za udereva
Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani kanda maalum ya Dar es salaam Awadhi Haji amesema zoezi maalumu lakukamata abiria na waendesha bodaboda ambao hawazingatii sheria za usalama barabarani zakuvaa kofia ngumu limekua na changamoto.

