Wanafunzi hewa wamechelewesha mikopo-Jaffo

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Selemani Jaffo.

Serikali ya Tanzania imesema kuwa ucheleweshaji wa mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu katika baadhi ya vyuo umetokana na kufanyika uhakiki wa wanafunzi kwa kuwa na uwepo wa wanafunzi hewa ambao wananufaika na mikopo hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS