Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa hatua anazozichukua katika uboreshaji wa sekta ya Elimu ni kwa ajili ya Maendeleo ya nchi na Watanzania kwa Ujumla.