Nafanya kwa ajili ya Watanzania-Dkt. Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa hatua anazozichukua katika uboreshaji wa sekta ya Elimu ni kwa ajili ya Maendeleo ya nchi na Watanzania kwa Ujumla.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS