Silaha ya kivita na risasi 122 vyakamatwa Njombe

Kamanda wa Polisi Mkoa Njombe, Pudensiana Protas

Jeshi la polisi mkoa wa Njombe limekamata silaha moja ya kivita na risasi 122 zilizokutwa na watuhumiwa nane wakiwa na silaha nyingine za jadi walizo tumia kufanya uhalifu katika maeneo mbalimbali ya mikoa ya Njombe na Iringa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS