Mafanikio hayapo kwenye muziki tu- Diamond

Msanii wa muziki wa Bongo Flava Diamond Platinumz

Msanii wa muziki wa Bongo Flava Diamond Platinumz amesema mafanikio hayapo katika muziki tuu bali kila mtu anatakiwa kuangalia mahali ambapo pana upungufu na kujitahidi kufanyia kazi hilo eneo ndipo ataweza kutoka kimaisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS