Serikali yatoa siku 7 kwa wadaiwa wa NSSF

Waziri Jenista Mhagama akiwa ameambatana na uongozi wa NSSF alipotembelea miradi ya nyumba za NSSF iliyopo wilayani Kigamboni

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu, Bunge, Vijana na Watu Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama ametoa siku 7 kwa taasisi za serikali, wizara, makampuni na watu binafsi kulipa madeni wanayodaiwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii -NSSF

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS