NHCR kuhamisha wakimbizi wa ndani Sudan Kusini

Wakimbizi wa Sudan Kusini wakikimbia makazi yao.

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi(UNHCR) limesema, limeanza operesheni ya kuhamisha wakimbizi wa ndani wa Sudan Kusini walio hatarini zaidi kutoka kwenye mji wa Yei na kuwapeleka kwenye kambi ya kitongoji cha Lasu nchini humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS