Nchi 36 duniani hazina mashine za kutibu saratani
Mataifa 36 duniani hayana mashine za kutoa huduma ya kutibu saratani,hiyo ikiwa ni kwa mujibu wa shirika la kimataifa la nishati ya atomiki, IAEA katika taarifa yake inayoweka bayana uwepo wa mashine hizo maeneo mbali mbali duniani.