Nchi 36 duniani hazina mashine za kutibu saratani

Mgonjwa wa saratani 'akichomwa' kwa mashine ya kisasa na salama dhidi ya mionzi ya radiesheni aina ya cobalt 60 katika taasisi ya saratani Ocean Road

Mataifa 36 duniani hayana mashine za kutoa huduma ya kutibu saratani,hiyo ikiwa ni kwa mujibu wa shirika la kimataifa la nishati ya atomiki, IAEA katika taarifa yake inayoweka bayana uwepo wa mashine hizo maeneo mbali mbali duniani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS