Wizara yafafanua sifa za kujiunga na elimu ya juu

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Mhandisi Stella Manyanya.

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi imetoa ufafanuzi juu ya mfumo wa kujiunga na masomo ya elimu ya juu baada ya kuenea kwa taarifa za upotoshaji kuhusu mchakato wa kujiunga na masomo hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS