Kutowatumia wanasheria, chanzo cha migogoro
Migogoro mingi ya kisheria katika masuala ya ardhi, ulipaji kodi, biashara, ajira, mirathi na ndoa kwa asilimia 80 huchangiwa na ukosefu wa elimu juu ya masuala ya kisheria na kitendo cha wananchi kutowahusisha wanasheria kabla ya kuingia makubaliano
