Wamachinga waachwe mjini - Rais Magufuli

Rais John Magufuli

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemuagiza Waziri na Katibu Mkuu katika Ofisi ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kusitisha mara moja utekelezaji wa zoezi la kuwaondoa wafanyabiashara wadogo (Machinga) katika jiji la Mwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS