Azam itatisha mzunguko wa pili VPL - John Bocco Azam FC wakiwa mazoezini Nahodha wa Klabu ya Azam FC John Bocco ‘Adebayor’ amesema anaamini kikosi hicho kitakuwa vizuri na kukaa nafasi nzuri kwenye mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara Read more about Azam itatisha mzunguko wa pili VPL - John Bocco