Qatar kuleta wataalam wa upasuaji wa moyo

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akizungumza na Balozi wa Qatar nchini Tanzania Abdullah Al Maadadi.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto Ummy Mwalimu mapema leo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Qatar Abdullah Al Maadadi ofisini kwake na kuzungumza kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya afya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS