Dunia yatahadharishwa kuhusu tishio la tsunami Mawimbi ya Tsunami Mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa upunguzaji wa hatari ya majanga Robert Glasser, ameonya dhidi ya kulegeza hatua, wakati huu ambapo kuna tishio la kimataifa la tsunami. Read more about Dunia yatahadharishwa kuhusu tishio la tsunami