Ujerumani yataka wahamiaji warudishwe Afrika

Boti ya wahamiaji ikizama bahari ya mediterainin.

Gazeti la Ujerumani la Welt am Sonntag limeripoti kuwa wizara ya mambo ya ndani ya Ujerumani inataka wahamiaji kuzuiwa kufika katika nchi za Ulaya kupitia Bahari ya Mediteran, kwa kuwachukua baharini na kuwarejesha Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS