Polisi nchini Zimbabwe yatawanya maandamano Polisi nchini Zimbabwe wakiwatawanya waandamanaji wanaopinga hali mbaya ya uchumi. Polisi wa kutuliza ghasia nchini Zimbabwe wamerusha mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji wa upinzani katikati ya mji wa Zvishavane. Read more about Polisi nchini Zimbabwe yatawanya maandamano