CHADEMA yatinga kortini kutaka Lema ashtakiwe

Godbless Lema - Mbunge wa Arusha Mjini

Wakili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, John Mallya, amesema chama hicho kimefungua kesi Mahakama Kuu kutaka Mbunge wa Arusha Mjini, Mh. Godbless Lema, afikishwe Mahakamani baada ya kukaa Mahabusu kwa muda wa siku 6 kinyume cha sheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS