Mwanamuziki bora chipukizi.

Waliochaguliwa kuwania kipengele cha mwanamuziki bora chipukizi katika tuzo za #EATVAwards ni Amani Hamisi (Man Fongo), Rashid Said (Bright), Mayunga Nalimi (Mayunga), Feza Kessy na Rukia Jumbe (Rucky Baby).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS