Mwalimu wa Shule ya Msingi ya Kibirashi iliyopo Kilindi Mkoani Tanga akionesha choo cha muda cha shule hiyo.
Serikali imesema shule zote zenye upungufu wa matundu ya vyoo, au zisizokuwa na vyoo zitafungwa endapo kasoro hiyo haitarekebishwa ndani ya mwaka mmoja.