Serikali kufuta utitiri wa kodi kwenye viwanda

Makamu wa Rais samia Suluhu, akiangalia ndoo zinazotumika kuwekea mafuta katika kiwanda hicho.

Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema serikali inajipanga kuondoa utitiri wa kodi mbalimbali zinatozwa kwenye viwanda kama hatua ya kuviwezesha viwanda vingi nchini  kuongeza uzalishaji na kutoa ajira nyingi kwa watanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS