Askari 8 watumbuliwa kwa kusababisha ajali
Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani kimewavua nyadhfa zao mkuu wa usalama barabarani mkoa wa Tabora Shida Machumu, na mkuu wa usalama barabarani wilaya ya Nzega Thomasi Ngecha kwa kushindwa kutekeleza mkakati wa kupuguza ajali za barabarani