Simba yaifuata Mtibwa Morogoro

Kikosi cha Simba

Kikosi cha Simba SC tayari kipo Morogoro baaada ya kuondoka leo mchana kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Mtibwa Sugar Jumatano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS