Kaliua yaibuka kidedea mpango wa kuinua elimu

Prof. Joyce Ndalichako 

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako amekabidhi hundi ya shilingi 704, 627,856 kwa Halmashauri ya Kaliua ambayo imekuwa ya kwanza kati ya 10 zilizofanya vizuri katika utekelezaji wa mpango wa 'lipa kulingana na matokeo'

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS