Makusanyo ya kodi yaongezeka kwa 12.74%

Richard Kayombo - Mkurugenzi wa Elimu na Huduma kwa Mlipa Kodi (TRA)

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa ukusanyaji wa mapato katika kipindi cha nusu mwaka wa fedha 2016/17 umeongezeka kwa asilimia 12.74

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS