Makusanyo ya kodi yaongezeka kwa 12.74% Richard Kayombo - Mkurugenzi wa Elimu na Huduma kwa Mlipa Kodi (TRA) Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa ukusanyaji wa mapato katika kipindi cha nusu mwaka wa fedha 2016/17 umeongezeka kwa asilimia 12.74 Read more about Makusanyo ya kodi yaongezeka kwa 12.74%