Mabadiliko makubwa mfumo wa taarifa serikalini

Waziri Nape Nnauye akisikiliza maelezo kutoka kwa mratibu wa vipindi wa EATV, Sophie Proches, wakati wa ziara ya ke katika studio za EATV Ltd.

Serikali imepanga kukomesha urasimu katika upatikanaji wa taarifa za serikali unaofanywa na baadhi ya maafisa habari wa umma, unaochangia ugumu katika utekelezaji wa majukumu ya vyombo vya habari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS