Familia yaisoma namba kwa mkataba wa Q Chillah Q Chillah Familia ya msanii wa bongo fleva Q Chilla wameamua kuingilia kati mkataba wa msanii huyo na kusema mkataba huo unamfanya aishi maisha magumu kiasi cha kushindwa kuchangia mambo yakifamilia. Read more about Familia yaisoma namba kwa mkataba wa Q Chillah