Rais Magufuli ateua bosi mpya CMSA Rais Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, leo amemteua Dkt. John Kedi Mduma kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA). Read more about Rais Magufuli ateua bosi mpya CMSA